Mkali wa wimbo ‘Bado’ kutoka WCB, Harmonize amesema hana tabia ya kuchezea wanawake hivyo kama wakikubaliana na mpenzi wake wa sasa Jacqueline Wolper watafunga ndoa. Muimbaji huyo ambaye ametoka katika familia ya dini ya kiislamu, ameiambia Bongo5 kuwa dini yake hamruhusu kuwachezea watoto wa kike. “Kwa sasa kuweka wazi kama tunakaa pamoja au hatukia siyo kitu kizuri cha kuzungumzia kwa sasa,” alisema Harmonize. “Insha’Allah panapo majaliwa tutakaa pamoja kwa sababu mimi sijaumbwa kwa ajili ya kuchezea wanawake,”
Aliongeza, “Nikiwa na mwanamke tunaandaa future, tunakubalia tukae pamoja, kwa nini tusikae pamoja wakati dini yangu hainkruhusu,”
Harmo amewataka mashabiki wa muziki wake kutulia kwani kuna mambo yazuri yanakuja.
Bongo5
Hating this post.Hw is he inspiring us,can’t be my role model.Watanzania wamezidi,I think the’s something they are lacking.Hawako sawa wa Tz.
Ikipendacho roho ni dawa
Kabla ya kuxema ki2 fikiria mwanzo watz mwapenda xana xicandle.
sema na utimize usiseme tew juu ya kusema
Sema na utende